sw_rom_text_ulb/01/29.txt

1 line
352 B
Plaintext

\v 29 Wamejawa na udhalimu wote, uovu, tamaa na ubaya. Wamejawa na wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu, na nia mbaya. \v 30 Wao pia ni wasengenyaji, wasingiziaji, na wenye kumchukia Mungu. Wenye vurugu, kiburi, na majivuno. Wao ni watunga mabaya, na wasiotii wazazi wao. \v 31 Wao hawana ufahamu; wasioaminika, hawana mapenzi ya asili, na wasio na huruma.