sw_rom_text_ulb/01/22.txt

1 line
226 B
Plaintext

\v 22 Walijiita kuwa ni werevu, lakini wakawa wajinga. \v 23 Waliubadili utukufu wa Mungu asie na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, ya wanyama wenye miguu minne, na ya viumbe vitambaavyo.