|
\v 1 Paulo, mtumishi wa Yesu Kristo, aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu. \v 2 Hii ndio ile Injili aliyoiahidi zamani kupitia manabii wake katika maandiko matakatifu. \v 3 Ni kuhusu Mwana wake, aliyezaliwa kutoka ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili. |