sw_pro_text_reg/17/13.txt

1 line
202 B
Plaintext

\v 13 Mtu anaporudisha mabaya badala ya mema, mabaya hayatatoka katika nyumba yake. \v 14 Mwanzo wa mafarakano ni kama mtu anayefungulia maji kila mahali, hivyo ondoka kwenye mabishano kabla ya kutokea.