\v 1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu. \v 2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho. \v 3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.