sw_pro_text_reg/06/30.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 30 Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa. \v 31 Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.