sw_pro_text_reg/24/32.txt

1 line
243 B
Plaintext

\v 32 Kisha nikaliona na kufikiria juu yake; nikatazama na kupokea mafundisho. \v 33 Kulala kidogo, kusinzia kidogo, kupumzika kwa kukunja mikono kidogo \v 34 na umasikini huja kwa kutembea juu yako, na mahitaji yako kama askari mwenye silaha.