sw_pro_text_reg/08/12.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 12 Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara. \v 13 Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.