sw_pro_text_reg/08/04.txt

1 line
174 B
Plaintext

\v 4 Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu. \v 5 Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.