sw_pro_text_reg/07/10.txt

1 line
248 B
Plaintext

\v 10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu. \v 11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani. \v 12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.