sw_pro_text_reg/06/17.txt

1 line
217 B
Plaintext

\v 17 Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu, \v 18 moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi, \v 19 shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.