sw_pro_text_reg/06/06.txt

1 line
213 B
Plaintext

\v 6 Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara. \v 7 Hana akida, afisa au mtawala, \v 8 lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.