sw_pro_text_reg/06/01.txt

1 line
206 B
Plaintext

\v 1 Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua, \v 2 basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.