sw_pro_text_reg/05/22.txt

1 line
166 B
Plaintext

\v 22 Mtu mwovu atatekwa na makosa yake mwenyewe; kamba za dhambi yake zitamnasa kwa nguvu. \v 23 Atakufa kwa kukosa maonyo; atapotelea mbali kwa upumbavu wake wingi.