sw_pro_text_reg/05/20.txt

1 line
167 B
Plaintext

\v 20 Mwanangu, kwa nini uwe mateka wa malaya, kwa nini uyakumbatie matiti ya mwanamke mgeni? \v 21 Yehova huona kila kitu afanyacho mtu na huangalia mapito yake yote.