sw_pro_text_reg/03/33.txt

1 line
173 B
Plaintext

\v 33 Laana ya Yehova ipo katika nyumba ya watu waovu, bali huibariki maskani ya watu wenye haki. \v 34 Yeye huwadhihaki wenye dhihaka, bali huwapa hisani watu wanyenyekevu.