sw_pro_text_reg/03/03.txt

1 line
183 B
Plaintext

\v 3 Usiache utiifu wa agano na uaminifu viondoke kwako, vifunge katika shingo yako, viandike katika vibao vya moyo wako. \v 4 Ndipo utapata kibali na heshima mbele Mungu na wanadamu.