sw_pro_text_reg/02/11.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 11 Busara itakulinda, ufahamu utakuongoza. \v 12 Vitakuokoa kutoka katika njia ya uovu, kutoka kwa wale waongeao mambo potovu. \v 13 Ambao huziacha njia za wema na kutembea katika njia za giza.