sw_pro_text_reg/01/15.txt

1 line
231 B
Plaintext

\v 15 Mwanangu, usitembee katika njia moja pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa katika mapito yao; \v 16 miguu ya hukimbilia mabaya na huharakisha kumwaga damu. \v 17 Kwa kuwa haina maana kumtegea ndege mtego wakati ndege anaona.