sw_pro_text_reg/01/10.txt

1 line
208 B
Plaintext

\v 10 Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi katika dhambi zao, kataa kuwafuata. \v 11 Kama watasema, " haya tufuatae, tuvizie ili kufanya mauaji, tujifiche ili tuwashambulie watu wasio na hatia, pasipo sababu.