sw_pro_text_reg/23/04.txt

1 line
198 B
Plaintext

\v 4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha. \v 5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itavaa mabawa kama tai na kuruka angani.