sw_pro_text_reg/18/17.txt

1 line
184 B
Plaintext

\v 17 Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali. \v 18 Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.