sw_pro_text_reg/17/23.txt

1 line
169 B
Plaintext

\v 23 Mtu mwovu hukubali rushwa ya siri ili kupotosha njia za haki. \v 24 Mwenye ufahamu huelekeza uso wake kwenye hekima, bali macho ya mpumbavu huelekea ncha za dunia.