sw_pro_text_reg/16/13.txt

1 line
184 B
Plaintext

\v 13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi. \v 14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.