sw_pro_text_reg/16/01.txt

1 line
167 B
Plaintext

\v 1 Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake. \v 2 Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.