sw_pro_text_reg/13/15.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 15 Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho. \v 16 Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.