sw_pro_text_reg/12/15.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu wa hekima husikiliza ushauri. \v 16 Mpumbavu huonyesha hasira yake papo hapo, bali asiyejali tusi ni mwenye busara.