sw_pro_text_reg/11/30.txt

1 line
184 B
Plaintext

\v 30 Wale watendao haki watakuwa kama mti wa uzima, lakini vurugu huondoa uzima. \v 31 Tazama! Ikiwa wale watendao haki hupokea wanachositahili, je si zaidi kwa waovu na wenye dhambi!