sw_pro_text_reg/11/19.txt

1 line
173 B
Plaintext

\v 19 Mtu mwaminifu atendaye haki ataishi, bali yeye atendaye uovu atakufa. \v 20 Yehova anawachukia wenye ukaidi mioyoni, bali anawapenda wale ambao njia zao hazina makosa.