sw_pro_text_reg/11/15.txt

1 line
201 B
Plaintext

\v 15 Anayemdhamini mkopo wa mgeni ataumia kwa usumbufu, bali anayechukia kutoa rehani kwa namna ya ahadi yupo salama. \v 16 Mwanamke mwenye rehema hupata heshima, bali watu wakorofi hufumbata utajiri.