sw_pro_text_reg/09/01.txt

1 line
174 B
Plaintext

\v 1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba. \v 2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.