sw_pro_text_reg/08/22.txt

1 line
167 B
Plaintext

\v 22 Yehova aliniumba tokea mwanzo, mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale. \v 23 Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.