sw_pro_text_reg/08/08.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 8 Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa. \v 9 Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.