sw_pro_text_reg/07/26.txt

1 line
168 B
Plaintext

\v 26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi. \v 27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti.