sw_pro_text_reg/07/16.txt

1 line
243 B
Plaintext

\v 16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri. \v 17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini. \v 18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.