sw_pro_text_reg/07/13.txt

1 line
211 B
Plaintext

\v 13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia, \v 14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu, \v 15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.