sw_pro_text_reg/05/15.txt

1 line
263 B
Plaintext

\v 15 Munywe maji kutoka kwenye birika lenu mwenyewe na munywe maji yanatiririka kutoka kwenye kisima chenu. \v 16 Je inapaswa chemichemi yenu ifurike popote na mifereji yenu ya maji itiririke katika njia kuu? \v 17 Yawe yenu wenyewe peke yenu wala si kwa wageni.