sw_pro_text_reg/03/27.txt

1 line
176 B
Plaintext

\v 27 Usizuie mema kwa wale wanaoyastahili, wakati utendaji upo ndani ya mamlaka yako. \v 28 Jirani yako usimwambie, "Nenda, na uje tena, na kesho nitakupa," wakati pesa unazo.