sw_pro_text_reg/03/09.txt

1 line
166 B
Plaintext

\v 9 Mheshimu Yehova kwa utajiri wako na kwa malimbuko ya mazao kwa kila unachozalisha, \v 10 na ndipo ghala zako zitajaa na mapipa makubwa yatafurika kwa divai mpya.