sw_pro_text_reg/02/18.txt

1 line
176 B
Plaintext

\v 18 Maana nyumba yake huinama na kufa na mapito yake yatakupeleka kwa wale walioko kaburini. \v 19 Wote waiendeao njia yake hawatarudi tena na wala hawataziona njia za uzima.