sw_pro_text_reg/02/16.txt

1 line
204 B
Plaintext

\v 16 Busara na hekima zitakuokoa kutoka kwa mwanamke malaya, kutoka kwa mwanamke anayetafuta visa na mwenye maneno ya kubembeleza. \v 17 Yeye humwacha mwenzi wa ujana wake na kusahau agano la Mungu wake.