1 line
191 B
Plaintext
1 line
191 B
Plaintext
|
\v 13 Mtu mvivu husema, " Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia." \v 14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
|