sw_pro_text_reg/03/13.txt

1 line
172 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 13 Yeye apataye hekima anafuraha, naye hupata ufahamu. \v 14 Kwani katika hekima unapata manufaa kuliko ukibadilisha kwa fedha na faida yake inafaa zaidi kuliko dhahabu.