1 line
172 B
Plaintext
1 line
172 B
Plaintext
|
\v 13 Yeye apataye hekima anafuraha, naye hupata ufahamu. \v 14 Kwani katika hekima unapata manufaa kuliko ukibadilisha kwa fedha na faida yake inafaa zaidi kuliko dhahabu.
|