sw_num_text_reg/03/36.txt

1 line
195 B
Plaintext

\v 36 Uzao wa Merari utatunza mbao za hema, mataruma, nguzo, makalishio, viifaa vya ujenzi na vitu vyote vinavyohusika, \v 37 na nguzo za ua zinazozunguka hema, makalishio, vigingi na kamba zake.