sw_num_text_reg/01/47.txt

1 line
187 B
Plaintext

\v 47 Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa, \v 48 Kwa sababu BWANA alimwambia Musa, \v 49 "usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.