sw_num_text_reg/01/20.txt

1 line
261 B
Plaintext

\v 20 Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia. \v 21 Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.