sw_num_text_reg/07/87.txt

1 line
496 B
Plaintext

\v 87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi. \v 88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajili ya kuiweka wakfu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.