sw_num_text_reg/04/49.txt

1 line
203 B
Plaintext

\v 49 Kwa agizo la BWANA, Musa alimhesabu kila mwanaume na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya. Kwa hivyo, walitii kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya kupitia kwa Musa.