sw_num_text_reg/04/41.txt

1 line
181 B
Plaintext

\v 41 Musa na Haroni walizihesabu koo za uzao wa Gerishoni ambao watatumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi ili kutii kile ambacho BWANA aliwaamuru kufanya kuptia kwa Musa.